Web Analytics
HABARI


  • Explain

    Copyright © Sporty Leo
    Showing posts with label HABARI. Show all posts
    Showing posts with label HABARI. Show all posts
    Moto wateketeza soko Ruaha Mikumi, vibaka wapora bidhaa

    Moto wateketeza soko Ruaha Mikumi, vibaka wapora bidhaa

    Muktasari: Moto mkubwa umeteketeza bidhaa pamoja na vibanda vya wafanyabiashara zaidi ya 200 wa soko la Ruaha Mikumi mkoani Morogoro.    Kil... , October 12, 2022 WIB
    Ukali wa Waziri Mwigulu kuhusu tozo ‘atakayetaka kutukana atukane tu, hata kama nitakosa rafiki’ (video+)

    Ukali wa Waziri Mwigulu kuhusu tozo ‘atakayetaka kutukana atukane tu, hata kama nitakosa rafiki’ (video+)

    Waziri wa Fedha na Mipango Dr. Mwigulu Nchemba leo akiwa Dodoma amekutana na Waandishi wa Habari kutolea ufafanuzi ishu ambayo imekua gumzo ... , September 01, 2022 WIB
    Vitu vitano vya kufanya Dubai mtu wangu!!

    Vitu vitano vya kufanya Dubai mtu wangu!!

    Pamoja na mji wa Dubai kufahamika kwa mashopping ya bei ghali na anasa za kila aina, bado kuna vitu ambavyo unaweza kufanya bila ya kutumia ... , July 30, 2022 WIB
    Msafara wa Waziri Makamba wasimamishwa njiani Wilayani Makete, ajibu maswali ya Wananchi

    Msafara wa Waziri Makamba wasimamishwa njiani Wilayani Makete, ajibu maswali ya Wananchi

    Wananchi wa kijiji cha Bulongwa kilichopo wilaya ya Makete Mkoani Njombe wamelazimika kusimamisha msafara wa Waziri wa nishati Januari Makam... , July 30, 2022 WIB
    Mradi uliokwama kwa miaka 24 wa kufua Umeme Makete, sasa wafufuliwa rasmi

    Mradi uliokwama kwa miaka 24 wa kufua Umeme Makete, sasa wafufuliwa rasmi

    Waziri wa Nishati, January Makamba amefika kwenye Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe na kufika kwenye mradi wa kufua umeme kwa Njia ya Maji wa ... , July 30, 2022 WIB
    Waziri Ummy anatoa taarifa mwenendo wa Homa ya Mgunda

    Waziri Ummy anatoa taarifa mwenendo wa Homa ya Mgunda

    Waziri wa Afya  Ummy Mwalimu  amesema toka  July 18,2022  hadi asubuhi ya leo hakuna Mgonjwa mpya aliyeonesha dalili za kuwa na ugonjwa wa  ... , July 29, 2022 WIB
    Ukraine: Runinga ya Urusi yaonyesha wanajeshi wawili wa Kimarekani waliotoweka

    Ukraine: Runinga ya Urusi yaonyesha wanajeshi wawili wa Kimarekani waliotoweka

    Alexander Drueke, veterani wa jeshi la Marekani, alikuwa amekwenda kupigana nchini Ukraine dhidi ya jeshi la Urusi. Siku ya Ijumaa, Juni 17,... , June 18, 2022 WIB
    Rais Samia akutana na Mbowe DSM IKULU

    Rais Samia akutana na Mbowe DSM IKULU

    Rais Samia amekutana na M/kiti Freeman Mbowe leo IKULU DSM, kwenye mazungumzo Rais amesisitiza umuhimu wa kushirikiana ili kuijenga Tanzania... , March 04, 2022 WIB
    Freeman Mbowe: Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema aachiwa huru

    Freeman Mbowe: Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema aachiwa huru

    Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi, katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Ru... , March 04, 2022 WIB
    VITA ya URUSI vs UKRAINE: NI UBABAE wa KUONESHANA SILAHA za HATARI, NINI KIPO NYUMA YA PAZIA??

    VITA ya URUSI vs UKRAINE: NI UBABAE wa KUONESHANA SILAHA za HATARI, NINI KIPO NYUMA YA PAZIA??

    #RussiavsUkraine #VitaUrusinaUkraine #UkweliTV VITA ya URUSI vs UKRAINE: NI UBABAE wa KUONESHANA SILAHA za HATARI, NINI KIPO NYUMA YA PAZIA?... , February 26, 2022 WIB