Showing posts with label SIMBA SC. Show all posts
Showing posts with label SIMBA SC. Show all posts
SPORTYLEO MEDIA LTD
MSAUZI KUPEWA U-CEO SIMBA….KAJULA AANZA KUAGA WACHEZAJI….ISHU NZIMA IKO HIVI.
UONGOZI wa Simba wapo kwenye mchakato wa kutafuta Mtendaji Mkuu kutoka Afrika Kusini kwa ajili ya kuja kuchukuwa nafasi ya Iman Kajula ambay... SIMBA SC Sporty News , April 18, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
ZA NDAAANIII KABISA….BARBARA , MKWABI KUCHUKUA NAFASI YA TRY AGAIN SIMBA
ALIYEKUWA Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Barbara Gonzalez na Sued Mkwabi wametajwa mmoja wapo huenda akaja kuchukuwa nafas... SIMBA SC Sporty News , April 18, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
BENCHIKHA:- UKIACHANA NA YANGA…TANZANIA NZIMA INASHIDA YA WASHAMBULIAJI
KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amefunguka na kusema amegundua tatizo la kumalizia (ushambuliaji ) ni janga la nchini kwa sasa kul... SIMBA SC Sporty News , April 18, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
EDO:- VIONGOZI SIMBA WANARUDIA SANA MAKOSA ….HAWAJUI TATIZO LILIPO..
Uongozi wa Simba SC umeendelea kupewa ushauri na kukosolewa kwa baadhi ya mambo ambayo yanadaiwa kuwa chachu ya kushindwa kufikia malengo w... SIMBA SC Sporty News , April 18, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
STAA YANGA:- PACOME ANATUMIA NGUVU NYINGI…CHAMA ANATUMIA AKILI NYINGI…ANAMCHAMBUA HADI KIPA
Staa wa zamani wa Yanga, Idd Moshi, ameingia katika mjadala ambao umekuwa ukiendelea tangu msimu huu uanze kwa mashabiki kila mmoja akiwali... SIMBA SC Sporty News YANGA SC , April 17, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
SIMBA SC SAFARINI ZANZÍBAR KUWEKA KAMBI WAIBOMOE YANGA J’MOSI
NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ akiwa Bandari ya Azam Marine na wenzake kwa safari ya Zanzíbar kwenda kuweka kambi ya kuji... SIMBA SC , April 16, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
KUELEKEA ‘KARIKAOO DERBY’…BENCHIKHA AWAPA KISOMO MASTAA WOTE SIMBA
KUELEKEA mchezo wa Kariakoo Derby, Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amefanya kikao kizito na wachezaji wake kwa kuyaweka mambo sawa... SIMBA SC Sporty Magazine , April 16, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
MEXIME:- BENCHIKHA ‘ALIBUGI’ KUMTOA CHAMA….ALINIRAHISISHIA KAZI SANA
Kocha Mkuu wa Klabu ya Singida Black Stars (zamani Ihefu FC) amesema kuwa kocha wa Simba, Abdelhak Benchikha alimrahisishia kazi baada ya ... SIMBA SC Sporty News , April 15, 2024 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
RASMI....SIMBA KUWAPITISHIA FAGIO LA CHUMA MUGALU NA KAGERE...ISHU YA MANZOKI SAWA NA PUA NA MDOMO...
Tetesi tulizozipata kutoka Klabu ya Simba ni kuwa, washambuliaji wa timu hiyo Meddie Kagere raia wa Rwanda na Chris Mugalu raia wa Congo DR ... MICHEZO SIMBA SC , July 28, 2022 WIB
SPORTYLEO MEDIA LTD
Subscribe to:
Posts (Atom)










